Upandikizaji wa Figo

14 Aug, 2022 Pakua

Hospitali ya Benjamin Mkapa imeanza kutoa huduma ya upandikizaji figo kwa wagonjwa wenye shida na matatizo ya figo. Uongozi wa Benjamin mkapa unapenda kuwataarifu wateja wake wote kuwa hospitali hiyo imeanza na mkakati wa kupandikiza figo kwa kutumia madaktari wazawa

Huduma hii itawasaidia wananchi kuepusha gharama za uasafiri kusafiri nje ya nji kwa ajili ya kutafuta huduma hii kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Mkurugenzi mtendaji ameongea na vyombo vya habari na kutoa taarifa hiyo na kuwaomba watanzania wote wenye shida ya figo kuja kupata matibabu katika hospitali ya Benjamin Mkapa.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more