TUZINGATIE UBORA WA HUDUMA KWA WANANCHI
Jan 14, 2026

Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka watumishi wa wizara hiyo kuongeza ubora wa utoaji huduma kwa kuwa afya si gharama bali afya ni uwekez...

Soma Zaidi
PROF. MAKUBI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUWEZESHA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA KUPA...
Jan 14, 2026

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Prof. Abel Makubi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Bilioni 3 kwa ajili ya kuwawezesh...

Soma Zaidi
TUNAHITAJI MASHIRIKIANO NA TAASISI NYINGINE ILI KUTIMIZA DIRA YA HOSPITALI YA BE...
Jan 06, 2026

Na. Jeremiah Mbwambo, 06/01/2026 Dodoma  Picha: Ludovick Kazoka    Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Prof. Abel Ma...

Soma Zaidi
HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA TAASISI YA AFY...
Jan 05, 2026

Na Jeremia Mwakyoma DODOMA - JANUARI 5, 2026   Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) na Taasisi ya Afya Cheki Foundation Leo zimeingia rasmi makubaliano y...

Soma Zaidi
MENEJIMENTI YA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA (BMH) YATOA MKONO WA SIKUKUU KWA WATU...
Dec 23, 2025

●Mkurugenzi Mtendaji Prof. Abel Makubi awashukuru Watumishi wa BMH kwa Utendaji mzuri katika mwaka 2025, awataka kuongeza uwajibikaji na ubora wa hudu...

Soma Zaidi
BMH kushirikiana na Serikali ya Malawi katika Kuboresha Matibabu ya Kibobezi,  M...
Dec 21, 2025

20 Desemba 2025, Lilongwe Malawi  Hospitali ya Benjamin Mkapa(BMH) imefungua ukurasa mpya wa kupanua mashirikiano na Serikali ya Malawi kupitia Wizara...

Soma Zaidi
KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA MOYO KUTOKA BMH YAHITIMISHWA MKOANI RUVUMA, WAGONJW...
Dec 10, 2025

Na Jeremia Mwakyoma SONGEA - RUVUMA, NOV. 21, 2025    Kambi ya Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto na Watu wazima kutoka Hospitali ya Benj...

Soma Zaidi
BMH YAPELEKA HUDUMA ZA KIBOBEZI ZA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO NA WATU WAZIMA MK...
Dec 10, 2025

Na Jeremia MwakyomaIgunga, Tabora - Dec 27, 2025   Timu ya Madaktari Bingwa Wabobezi wa Moyo kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wamepiga kambi M...

Soma Zaidi
BMH KUONGEZA MASHIRIKIANO NA NMB
Dec 10, 2025

Menejimenti ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) itaendelea kukuza mashirikiano na Benki ya NMB katika kuboresha huduma za pande zote ili kuhakikisha...

Soma Zaidi
BMH KUTAFUTA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBOBEZI
Dec 10, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH ) Prof Abel Makubi amemtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Bi...

Soma Zaidi
WAKAZI WA MKOA WASINGIDA WANUFAIKA NA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MOYO: 26 WAPEWA R...
Dec 10, 2025

Na. Jeremiah Mbwambo, Dodoma, Desemba 5, 2025Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa kushirikiana na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida wameendesha kambi y...

Soma Zaidi
BMH YAIBUKA NA USHINDI WA VIKOMBE VITATU SHIMMUTA 2025
Dec 10, 2025

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeibuka kinara baada ya kujinyakulia jumla ya vikombe vitatu katika mashindano ya SHIMMUTA yaliyomalizika leo mkoan...

Soma Zaidi