HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA IMEWEKA KAMBI JIJINI ARUSHA
19 JULAI 2026, ARUSHA
Mkuu wa msafara Daktari Bingwa wa magonjwa ya mfumo wa mkojo, Okoa Sukunala ameeleza mwitikio wa wananchi wa Arusha kuhudhuria kwenye kambi hiyo umekuwa mkubwa
"Mpaka kufikia leo tumewaona na kuwahudumia wananchi katika maeneo haya wagonjwa wa mfumo wa mkojo 530, Wagojwa wa damu 397, Wagonjwa wa figo 431, wakati uchunguzi wa saratani ya mlango wakizazi na matiti umefanyika kwa jumla ya wagonjwa 1226" amesema Dkt. Okoa
Kambi hiyo imeratibiwa na Mhe. Poul Makonda Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa kuleta madaktari na kuwahudumia wananchi wa Arusha.