Mwanzo / Kurasa / Sehemu ya Maabara Tiba

Sehemu ya Maabara Tiba

Published on July 01, 2025

Article cover image

Idara hii ilianzishwa mwaka 2015. Idara ya maabara inashughulika na utoaji wa huduma za kibingwa katika takribani vipimo zaidi ya miambili kwenye maeneo yafuatayo: “Parasitology”, “Microbiology”, “Serology”, “Molecular Biology”, “Immunology”, “Clinical “Chemistry”, “Haematology”, “Blood Transfusion” na “Histopathology” kwa wagonjwa wa ndani na nje ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH). Pia idara ina kitengo cha damu salama ambacho shughuli yake kuu ni kukusanya damu salama kwa ajili ya wangonjwa wenye uhitaji wa kuongezewa damu salama na kitengo cha ‘EMD’ kwa ajili ya wagonjwa wanaohitaji kufanyiwa vipimo kwa dharura au haraka.

 

Taarifa/idadi ya wataalamu katika idara

“Pathologists”

3

“Specialized Laboratory Scientist”

2

“Laboratory Scientist”

16

“Laboratory Technologist”

38

“Nurse”

01

“Laboratory Attendant”

1

“Social worker”

1

JUMLA

62

 

ORODHA/IDADI YA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA (ILIPOANZA NA SASA)

VIPIMO VYA MAABARA VILIVYOFANYIKA: 2021-2024

Section Name

2021

2022

2023

2024

“BLOOD TRANSFUSION”

13752

15488

17852

18341

“CHEMISTRY”

85993

83432

110686

160781

“HAEMATOLOGY”

50094

50082

56683

69865

“HISTOLOGY”

2223

2708

2907

3248

“IMMUNOLOGY”

17077

15417

18448

24828

“MICRO BIOLOGY”

5271

7824

7998

9200

“MICRO TB”

802

1167

1125

1492

“MOLECULAR BIOLOGY”

0

0

4

4

“PARASITOLOGY”

51302

55399

58395

63472

“SEROLOGY”

21835

19522

24858

27347

Jumla Kuu

248349

251039

298956

378578

 

Mafanikio ya Idara

i)               Utafiti na Mafunzo

Idara imefanya publication mbili mwezi Machi 2022 zenye Kichwa “Antimicrobial Resistance Patterns of Escherichia coli O157:H7, Salmonella, and Shigella Species from Stool Samples of Patients with Diarrhea at Benjamin Mkapa Hospital” na tafiti nyingine yenye title “Prevalence, Antimicrobial Susceptibility Patterns of Bacterial Isolates and Risk Factors of Access Related Infection among Hemodialysis Patients at Benjamin Mkapa Hospital”. Kadhalika, inaendelea na kuandaa data za “Antimicrobial Resistance Testing (AMR)” kwenye Kitengo cha Microbiology na kutuma data hizo maabara kuu ya taifa kama ilivyo azimio la Wizara ya Afya. 

ii)             Ithibati

Idara ya Maabara kutoa huduma katika kiwango cha kimataifa na kutunukiwa cheti cha ithibati kutoka “SADCAS’ baada ya kufanyiwa assessment mbalimbali.

iii)           Kuongeza vipimo

Idara imefanikiwa kuongeza vipimo mbalimbali  katika idara mbalimbali kama; “Frozen section”, “Immuno-histochemistry”, “Histology”, “Cytology”, “Haematology”, “Chemistry” , “Immunology”.