WAGONJWA 572 WANUFAIKA MATIBABU YA MACHO KUTOKA KWA MADAKTARI BINGWA WA BMH
Jun 05, 2023

Kambi ya madaktari Bingwa wa macho kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa(BMH) iliyofanyika wilaya ya Newala, Mtwara leo Juni 2, 2023 imefikia tamati na i...

Soma Zaidi
WALIOTIBIWA MACHO WAPEWA ELIMU YA KUYATUNZA
Jun 05, 2023

Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma (BMH) wametoa elimu ya jinsi ya kutunza macho kwa wagonjwa walionufaik...

Soma Zaidi
56 WACHUNGUZWA MACHO 15 WAKIFANYIWA UPASUAJI MTOTO WA JICHO NEWALA
Jun 05, 2023

Mtwara, 30 Mei, 2023 Madaktari Bingwa wa magonjwa ya macho kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kati ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Mei 30, 2023 wamean...

Soma Zaidi
KOFIH YA FURAHISHWA MIUNDOMBINU HUDUMA ZA DHARURA-BMH
May 30, 2023

May 30,2023 Dodoma, Profesa Kang Hyun Lee wa shirika la Korea Foundation for International Healthcare (KOFIH) linalojihusisha na kutoa misaada ya hud...

Soma Zaidi
MHE. UMMY MWALIMU (MB), WAZIRI WA AFYA AWASILISHA MAKADILIYO YA MAPATO NA MATUMI...
May 12, 2023

Mhe. Ummy Mwalimu (Mb), Waziri wa Afya leo 11 Mei, 2023 amewasilisha makadilio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha 2023-2024 ka...

Soma Zaidi
WAZIRI MKUU AZINDUA HUDUMA ZA KUPANDIKIZA ULOTO KATIKA HOSPITALI YA BENJAMIN MKA...
May 12, 2023

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), 10 Mei, 2023 alizindua rasmi huduma za Upandikizaji wa Uloto...

Soma Zaidi
SERIKALI KUANZA NAΒ  RADIOLOJIA KATIKA TIBA MTANDAO
Mar 24, 2023

Serikali itaanza na huduma ya radiolojia katika tiba mtandao (telemedicine) pale itakapoanza mwezi ujao. Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Wizara ya Afya,...

Soma Zaidi
KAMBI YA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO INAENDELEA
Mar 22, 2023

Madaktari bingwa wa Moyo wa Hospitali ya Benjamini Mkapa na Chuo Kikuu Dodoma UDOM, kwa kushirikiana na wenzao kutoka shirikia lisilo la kiserikali la...

Soma Zaidi
DR MOLLEL AWASHUKURU TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP
Mar 17, 2023

Kauli hiyo imeelezwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel alipokutana na uongozi wa Shirika la afya la Japan, TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP leo katik...

Soma Zaidi
MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA UPANDIKIZAJI FIGO BMH
Mar 17, 2023

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza miaka mitano toka ilipoanzisha huduma hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali, Dkt Alphonce Chandika,...

Soma Zaidi
BALOZI WA NORWAY ARIDHISHWA NA HUDUMA BMH
Mar 01, 2023

Balozi wa Norway nchini, Bi Elisabeth Jacobsen, ameridhishwa na huduma za afya katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) jijini Dodoma. Akiwa katika z...

Soma Zaidi
BMH YACHANUA MIAKA MIWILI YA Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN
Feb 24, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma Dkt. Alphonce Chandika ametoa tathimini ya mafanikio ya Hospitali hiyo ndani ya miaka miwili...

Soma Zaidi