Habari
DKT MAGHEMBE: JENGEENI UWEZO HOSPITALII ZA CHINI LAKINI WASICHELEWESHE RUFAA.
Na Ludovick kazoka na Jeremia Mwakyoma, Dodoma - Agosti 21, 2025 Hospitali ya Benjamin mkapa imetakiwa kuwajengea uwezo Hospitali za chini katika miko...
Soma ZaidiJESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LAISHUKURU BMH KWA KUWASOGEZEA HUDUMA KARIBU.
Na. Gladys Lukindo na Carine Senguji, Agosti 16 2025. DODOMA Jeshi la Polisi mkoani Dodoma laishukuru Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kuwasogeze...
Soma ZaidiBMH YASOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI MAONESHO YA NANENANE KITAIFA.
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inashiriki maonesho ya wakulima nanenane ikiwa ni sehemu ya kufahamisha umma kuhusu huduma zinazotolewa na kusogeza...
Soma ZaidiTUNAWAHITAJI MADAKTARI WA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA.
Na Jeremiah Mbwambo, Bujumbura, 31.07.2025 Hayo yamesemwa leo na Mh. Angeline Ndayishimiye mke wa Rais Jamhuri ya Burundi alipokuwa akihitimisha kambi...
Soma ZaidiWANANCHI 2420 WA BURUNDI WANUFAIKA NA MATIBABU YA UBINGWA WA MADAKTARI WA HOSPIT...
Na. Jeremiah Mbwambo, Bujumbura - Burundi, 26/07/2025 Mratibu wa kambi ya matibabu na Mkurugenzi wa Mafunzo na Utafiti Bi. Monica Kessy amesema mwitik...
Soma ZaidiBINTI ALIYETESEKA NA UVIMBE TUMBONI ATOLEWA UVIMBE WA KILO MBILI NA NUSU. IN ENG...
Na. Jeremiah Mbwambo, 21/07/2025, Bujumbura - Burundi. Mkurugenzi Mtendaji Prof. Abel Makubi leo ameongoza jopo la madaktari Bingwa wa Hospitali ya B...
Soma ZaidiPROF. ABEL MAKUBI AWAONGOZA MADAKTARI BINGWA WA BMH KUWAHUDUMIA WANANCHI WA BUJU...
Na. Jeremiah Mbwambo, 21/07/2025, Bujumbura - Burundi Mkurugenzi Mtendaji Prof. Abel Makubi leo ameongoza jopo la madaktari Bingwa wa Hospitali ya Be...
Soma ZaidiHOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAWAFIKIA WANANCHI 1213 WA GITEGA-BURUNDI.
Na. Jeremiah Mbwambo, 19/07/2025 Gitega- Burundi Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Prof. Abel Makubi ameeleza kuwepo kwa madaktar...
Soma ZaidiTUNAMSHUKURU MHE. RAIS WA TANZANIA KWA KUTULETEA MATIBABU.
Hayo yamesemwa leo na baadhi ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji katika magonjwa mbalimbali waliyo kuwa nayo Mkazi wa Gitega Bw. Ntirampeba Clavert ali...
Soma ZaidiWAZIRI WA AFYA BURUNDI AZINDUA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA HOSPITALI YA BENJAMI...
Na. Jeremiah Mbwambo, 15/07/2025 GITEGA-BURUNDI Waziri wa Afya Burundi Dr. Baradahana Lydwine amefungua kambi maalumu ya madaktari Bingwa wa Hospital...
Soma ZaidiHospitali ya Benjamin Mkapa yazindua Huduma za Wagonjwa wa Kimataifa na Tiba Uta...
Dodoma, 10 Julai 2025. Waziri wa Afya, Mheshimiwa Jenista Mhagama , leo amezindua huduma za wagonjwa wa Kimataifa na tiba utalii katika Hospitali ya B...
Soma ZaidiWAZIRI WA AFYA AZITAKA HOSPITALI NYINGINE KUIGA BMH KUANZISHA KLINIKI YA WATEJA...
Na; Carine Senguji na Gladys Lukondo, DODOMA. JULAI 10 2025 Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ( Mb), amezitaka Hospitali za Kanda na taasisi zinazoh...
Soma Zaidi