BMH YAPOKEA GARI NYINGINE YA KUBEBEA WAGONJWA
May 10, 2024

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imepokea gari nyingine ya kubebea wagonjwa hivyo kufikisha magari hayo matatu. Akiongea wakati wa kukabidhi gari hi...

Soma Zaidi
700 KUFANYIWA UCHUNGUZI WA MOYO BMH
Feb 13, 2024

Watu 700 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa moyo kwenye kambi ya moyo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH). Daktari Bingwa Moyo wa BMH, Dkt Calv...

Soma Zaidi
DAKIKA 40 CHUMBA CHA WANAOZALIWA KABLA YA WAKATI
Dec 18, 2023

Novemba 17, 2023, Dunia iliadhimisha siku ya Mtoto aliyezaliwa kabla ya wakati, siku moja kabla, nilibahatika kufika katika Wodi maalumu kwenye mojawa...

Soma Zaidi
BMH YAPELEKA HUDUMA ZA DHARURA KATESHI
Dec 05, 2023

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imepeleka timu ya wataalamu katika mji wa Katesh kuongeza nguvu za huduma za Kiafya za dharura kwa manusura wa Mafur...

Soma Zaidi
WAPANDIKIZWA BETRI KWENYE MOYO BMH, MADAKTARI 70 WAKIPEWA MAFUNZO
Dec 01, 2023

Wagonjwa  3 wamenufaika na huduma ya kupandikizwa Betri ya kwenye Moyo katika  kambi ya matibabu ya Moyo na Mafunzo ya kubaini wagonjwa weny...

Soma Zaidi
TUNATIBU APONYAE NI MUNGU
Jul 24, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kati Benjamin Mkapa (BMH) amewaomba viongozi wa dini kuendelea kuwaombea wagonjwa na watoa hudum...

Soma Zaidi
BILLION 2.7 YAENDELEA KUOKOA WATOTO WENYE UGONJWA WA SELIMUNDU TANZANIA
Jun 20, 2023

Bw. Jeremiah Mbwambo Msemaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ameeleza, kila ifikapo Juni 19 Dunia huadhimisha Siku ya Selimundu. “Siku hii...

Soma Zaidi
MKURUGENZI MTENDAJI BMH ATETA NA CHAMA CHA MADAKTARI BINGWA WA UPASUAJI TANZANIA
Jun 16, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa ameeleza ukuaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa ndani ya muda mfupi katika mkutano wa chama cha mada...

Soma Zaidi
BMH YAPANDIKIZA UUME KWA MARA YA KWANZA NCHINI
Jun 15, 2023

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)kwa kushirikiana na chama cha madaktari bingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkojo nchini (TAUS) pamoja na dkt. Bingwa kuto...

Soma Zaidi
KAMATI YA BUNGE YA AFYA YA NAMIBIA YAITEMBELEA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA.
Jun 14, 2023

Kamati ya kudumu ya masuala ya usawa wa jinsia, maendeleo ya jamii na ustawi wa familia kutoka Bunge la Namibia leo wamefanya ziara katika Hospitali y...

Soma Zaidi
MADAKTARI WA UPASUAJI WAKUTANA BMH
Jun 13, 2023

Madaktari waupasuaji wamekutana Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) jijini Dodoma . Dkt Sylvia Jumbe, mratibu wa mafunzo katika Hospitali ya Benjamin M...

Soma Zaidi
WATUMISHI BMH KUCHANGIA DAMU
Jun 13, 2023

Kuelekea Juni 14 siku ya kuchangia damu duniani baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kutoka Idara ya Maabara wamejitokeza kuchangi...

Soma Zaidi