BMH KUANZISHA MASHIRIKIANO NA CHUO KIKUU CHA MANSOURA ,MISRI
MANSOURA MISRI, 14 JUNE 2026
Hospitali ya Benjamin Mkapa imeanza makubaliano ya awali ya kushirikiana na Chuo Kikuu cha Mansoura kilichoko Misri katika masuala ya kujengea uwezo Watalaamu , kambi za Matibabu, Mafunzo kwa VitendoΒ na Tafiti.
Mansoura ni moja ya vyuo vikubwa nchini Misri na ina Hospitali ya Kisasa inayotoa Tiba za hadhi ya kibobezi katika maeneo zaidi ya 12.
Β