Afya ya Meno na Kinywa

Idara Afya ya kinywa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa hutoa huduma za matibabu ya kinywa  kwa watoto na watu wazima  kama ifuatavyo;

  • Uzibaji wa jino wa kawaida (jino lenye tundu dogo au lenye mashambulizi kidogo)
  • Uzibaji wa jino wa kuua kiini cha jino (Jino lenye tundu kubwa au la muda mrefu)
  • Kung'oa jino lisilofaa kuziba (Jino lililoota sehemu isiyo sahihi au lilliloota vibaya, Jino lililokana kuota likasalia katika mfupa na kuleta athari)
  • Kuweka meno bandia (ya kuvaa na kuvua au ya kuvaa moja kwa moja)
  • Upasuaji Taya na Vivimbe kwenye taya (inahusisha upasuaji mdogo au mkubwa)
  • Usafishaji meno yenye uchafu
  • Upangaji meno

Huduma zote hizi hutolewa na Madakari Bingwa wa Kinywa na Meno na wataalamu wenye uzoefu kwa kutumi vifaa tiba vya kisasa na kuhakikisha huduma za KInywa na Meno

Katika Hospitali ya Benjamin Mkapa zinatolewa kwa kiwango cha ubora ngazi ya kimataifa. 

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more