Dira na Dhamira
Dira na Dhamira

Dira: Kuwa Hospitali ya kisasa yenye teknolojia ya juu inayojengwa juu ya sayansi mpya kwa ajili ya jamii yenye afya bora na maendeleo endelevu ya ta...

Read More
Kutoka kwa Mkurugenzi

Karibu kwenye Tovuti ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Tangu kuanzishwa kwake na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 13 Oktoba 2015...

Read More
Kliniki Ya Macho

Kliniki ya Magonjwa ya macho inatoa huduma kwa wagonjwa wenye matatizo mbalimbali ya macho, pia kliniki ya Magonjwa ya macho inatoa huduma ya upasuaji...

Read More
Huduma ya Upasuaji
Huduma ya Upasuaji

Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianzishwa July 2022 ikiwa na idadi ya watendaji wanne, ambao ni Daktari Bingwa mmoja,...

Read More
Saratani

Idara ya Magonjwa ya Saratani, ilianza kutoa huduma Januari 14, 2020, ikiwa na watendaji wawili ambao ni Daktari na Muuguzi. Idara ya Saratani ilianz...

Read More
Kliniki ya Mfumo wa Mkojo na jinsia ya Kiume

Kliniki ya Mfumo wa mkojo na Jinsia ya Kiume inatoa huduma za endoscopic (upasuaji wa matundu) kwa wagonjwa wenye tezi dume, kansa zakibofu, upan...

Read More
Kliniki ya Magonjwa ya Dharura

Kliniki ya Magonjwa ya Dharura inatoa huduma zote za dharura ikiwemo waathirika wa ajali na magonjwa mengine ya dharura. Kliniki ina mpango wa kuanzis...

Read More
Sehemu ya Saratani na Tiba ya Nyuklia
Sehemu ya Saratani na Tiba ya Nyuklia

Idara ya Saratani katika Hospitali ya Benjamin Mkapa ilianzishwa mwaka 2018 kwa lengo la kutoa huduma maalum kwa wagonjwa waliogundulika kuwa na sarat...

Read More
Magonjwa ya Masikio, Pua na Koo
Magonjwa ya Masikio, Pua na Koo

Kliniki ya Masikio, Pua na Koo, ina vifaa tiba vya kisasa aina ya โ€˜Endoscopic instrumentsโ€™ vifaa hivi, vimewezesha kuboresha huduma katika kliniki ya...

Read More
Sehemu ya Kliniki ya Magonjwa ya Watoto
Sehemu ya Kliniki ya Magonjwa ya Watoto

Idara ya Watoto, iliyoanzishwa mwaka 2018, ilianzishwa kwa lengo la kutoa huduma maalum na za hali ya juu za afya kwa watoto na vijana. Tangu kuanzish...

Read More
Rekodi za Kiuuguzi
Rekodi za Kiuuguzi

Idara ya kumbukumbu za kitabibu na taarifa za afya (medical records) ilianzishwa tarehe 13/10/2015 wakati hospitali ilipoanza kutoa huduma na ilianza...

Read More
Sehemu ya Mifupa na Majeraha

Idara ya Mifupa na Majeraha katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, iliyoanzishwa mwaka 2017, imejikita katika kutoa huduma kamili na za kitaalamu kwa wag...

Read More
Kliniki ya Fiziotherapia
Kliniki ya Fiziotherapia

Kliniki ya Fiziotherapia inatoa huduma za tiba ya utengemavu kwa watoto wenye ulemavu na utindio wa ubongo, watu wazima wenye kiharusi, mgongo, waliou...

Read More
Sehemu ya Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu
Sehemu ya Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu

Idara ya Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ni mfano wa ubora, ikiwa na dhamira ya kutoa huduma bora za...

Read More
Sehemu ya Magonjwa ya Damu na Tiba ya Uongezaji Damu
Sehemu ya Magonjwa ya Damu na Tiba ya Uongezaji Damu

Idara ya Hematologia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa imekuwa kinara katika kutoa huduma maalum kwa magonjwa ya damu, ikifanya mafanikio makubwa kat...

Read More