Mwanzo / Clinics / Kliniki ya Macho

Kliniki ya Macho

Article cover image

Idara ya Magonjwa ya Macho (Ophthalmology)

Hospitali ya Benjamin Mkapa


Sifa za Idara (Faida za Ushindani)

  • Matumizi ya teknolojia ya kisasa
  • Utaalamu maalum katika fani ya macho
  • Huduma zinazomweka mgonjwa mbele katika kila hatua ya matibabu

Huduma Zinazotolewa

  • Huduma za kliniki za macho
  • Huduma za upasuaji wa macho
  • Huduma za miwani (optical services)
  • Huduma za outreach kwa jamii

Watoa Huduma

  • Madaktari Bingwa wa Macho (Ophthalmologists)
  • Wataalamu wa Macho (Optometrists)
  • Wauguzi wa macho (Ophthalmic Nurses)

Kliniki na Huduma Nyingine

  • Kliniki ya Glaucoma
  • Kliniki ya Ophthalmolojia ya Watoto
  • Kliniki ya Retina
  • Kliniki ya Oculoplastic
  • Huduma za uchunguzi kwa kutumia vifaa vya kisasa kama:
    • OCT (Optical Coherence Tomography)
    • Visual Field Assessment
    • Ultrasound ya Jicho
    • Matibabu kwa kutumia Laser

Idadi ya Wagonjwa Tunawahudumia kwa Mwaka

  • Takribani wagonjwa 10,000 kwa mwaka

Jinsi ya Kupata Huduma Zetu

  • Kupitia simu
  • Kwa kutembelea kliniki yetu moja kwa moja
  • Kupitia huduma za outreach kwa jamii

Taasisi Tunazoshirikiana Nazo na Namna ya Ushirikiano

  • CCBRT, KCMC, MNH, UDOM, na BMC
  • Ushirikiano huu unahusisha mabadilishano ya wataalamu, misheni za kibingwa, na kuimarisha huduma zinazomlenga mgonjwa

Mikakati ya Kuboresha Ubora wa Huduma

  • Mafunzo kazini kwa wataalamu
  • Ushirikiano wa fani mbalimbali
  • Uboreshaji wa mchakato wa utoaji huduma
  • Huduma zinazomweka mgonjwa mbele
  • Udhibiti na uboreshaji wa ubora wa huduma kila wakati

Maboresho Yanayoendelea kwa Sasa

  • Uimarishaji wa huduma kwa mtazamo wa kumweka mgonjwa mbele
  • Kuendeleza tafiti na ubunifu katika huduma za macho

Kwa Kuhifadhi Nafasi ya Kliniki au Maswali Zaidi

📞 Wasiliana nasi kupitia:
+255 (0) 735 000 002

 


Clinic Specialists

Dr. Jacinta Feksi

Ophthalmologist