MUUGUZI WA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA AMEPENDEKEZWA KUWA MUUGUZI BORA WA MWAKA.

Published: Sep 17, 2025
MUUGUZI WA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA AMEPENDEKEZWA KUWA MUUGUZI BORA WA MWAKA. cover image

Kumpigia kura fuatisha kiunganishi huki; https://voting.ths.or.tz/?utm_source=chatgpt.com

Kumbuka muuguzi bora wa mwaka jana ametoka Hospitali ya Benjamin Mkapa

Mfahamu Sr. Tumaini Mtatuu kwa ufupi.

2021 - 2023 Amekuwa kiongozi wa Wodi zote Hospitali ya Benjamin Mkapa, katika uongozi wake amefanya mengi baadhi ni haya. 

·       Ameanzisha mfumo wa kidigitali wa utunzaji kumbukumbu za wauguzi

·        Ameanzisha ukaguzi na ushindani wa Idara za wodini na Kliniki ili kuleta ubora wa utoaji huduma za uuguzi

·       Amewezesha kusimamia miongozo mbalimbali ya utoaji huduma ya wizara ya Afya ndani ya Hospitali 

·       Ameanzisha masanduku ya maoni wodini ili kuwapa fursa wagonjwa kutoa maoni juu ya huduma wanazozipata. 

    Kumbuka haya ni baadhi ya mambo aliyo yafanya