HABARI KATIKA PICHA: BMH NA IAEA KUSHIRIKIANA

Published: Sep 03, 2026
HABARI KATIKA PICHA:  BMH NA IAEA KUSHIRIKIANA cover image

3 Sept 2026, Vienna Austria

Hospitali ya Benjamin Mkapa na Shirika la Nguvu za atomiki Duniani( IAEA) kuendelea kushirikiana katika kusaidia usimikwaji wa vifaa Tiba Mionzi na Mafunzo ya Watalaamu katika Mradi wa Kituo cha Tiba, Mafunzo na Tafiti kinachojengwa na Serikali ndani ya taasis hiyo

IMG-20260903-WA0819.jpg